- 2 414 Videos
- 75 605 479 ์กฐํ์
Simba SC Tanzania
Tanzania
๊ฐ์ ์ผ: 2019. 07. 12.
โฝ๏ธ๐๐ Welcome to the Official Simba Sports Club KRplus channel. Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
Don't forget to subscribe in this Channel.
Karibu katika chaneli rasmi ya Klabu ya Simba, Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama magoli bora yaliyofungwa na wachezaji wa Simba,Marudio ya mechi,wachezaji wapya pamoja na mahojiano mubashara ya wachezaji wetu.
Usisahau kujiunga nasi .
Karibuni sana.
Don't forget to subscribe in this Channel.
Karibu katika chaneli rasmi ya Klabu ya Simba, Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama magoli bora yaliyofungwa na wachezaji wa Simba,Marudio ya mechi,wachezaji wapya pamoja na mahojiano mubashara ya wachezaji wetu.
Usisahau kujiunga nasi .
Karibuni sana.
KIKOSI KIMEFANYA MAZOEZI YA MWISHO TAYARI KWA MCHEZO WA FAINALI DHIDI YA AZAM FC | MUUNGANO CUP 2024
SUBSCRIBE NOW:
โถt.ly/uwYW7
๐ Site: simbasc.co.tz/
๐ฑ App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-sc/id1564389213
๐ฑ App: Android User: play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&pli=1
๐ต Facebook: simbatanzania/
๐ธ Instagram: simbasctanzania
๐ Twitter: SimbaSCTanzania
๐ถ Tiktok: www.tiktok.com/@simbascofficial
About the Official Simba SC KRplus Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
๐ต๐ดโช #NguvuMoja #Wenyenchi
โถt.ly/uwYW7
๐ Site: simbasc.co.tz/
๐ฑ App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-sc/id1564389213
๐ฑ App: Android User: play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&pli=1
๐ต Facebook: simbatanzania/
๐ธ Instagram: simbasctanzania
๐ Twitter: SimbaSCTanzania
๐ถ Tiktok: www.tiktok.com/@simbascofficial
About the Official Simba SC KRplus Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
๐ต๐ดโช #NguvuMoja #Wenyenchi
์กฐํ์: 2 550
๋น๋์ค
KOCHA MGUNDA - BOLI IMETEMBEA?/"NAWAPONGEZA WAMEFUATA MAELEKEZO/FURAHA NI KUBWA"
์กฐํ์ 8K2 ์๊ฐ ์
SIKIA WALICHOKISEMA AISHA MNUNKA NA JENTRIX SHIKANGWA BAADA YA KUWAKANDA YANGA CHUMA 3
์กฐํ์ 12K2 ์๊ฐ ์
MAGOLI YOTE DHIDI YA YANGA PRINCESS | FULLTIME YANGA PRINCESS {1} VS SIMBA QUEENS {3}
์กฐํ์ 24K2 ์๊ฐ ์
KIKOSI CHA SIMBA QUEENS KILIVYOWASILI UWANJAN KUWAVAA YANGA PRINCESS
์กฐํ์ 3.5K2 ์๊ฐ ์
MAGOLI YOTE KVZ {0} VS SIMBA SC {2} | MUUNGANO CUP 2024
์กฐํ์ 14K2 ์๊ฐ ์
MAZOEZI YA MWISHO YA SIMBA QUEENS KABLA YA KUWAVAA YANGA PRINCESS MCHEZO WA LIGI KUU YA WANAWAKE
์กฐํ์ 1.2K4 ์๊ฐ ์
FREDDY MICHAEL AWAANGUKIA MASHABIKI BAADA YA KUFUNGA DHIDI YA KVZ/"TUNAHITAJI SAPOTI YAO"
์กฐํ์ 34K4 ์๊ฐ ์
KOCHA MATOLA BAADA YA KUTINGA FAINALI KOMBE LA MUUNGANO/CHAMA ANAENDELEAJE?/SIKIA HAPA
์กฐํ์ 11K4 ์๊ฐ ์
KIKOSI KIMEWASILI UWANJANI TAYARI KWA MCHEZO DHIDI YA KVZ | MUUNGANO CUP 2024
์กฐํ์ 4.5K4 ์๊ฐ ์
KOCHA MATOLA & MOHAMED HUSSEIN - "SISI KAMA MABINGWA WATETEZI WA KOMBE HILI TUPO TAYARI KWA MCHEZO"
์กฐํ์ 18K7 ์๊ฐ ์
KIKOSI KIMEWASILI ZANZIBAR TAYARI KWA MASHINDANO YA MUUNGANO CUP
์กฐํ์ 10K7 ์๊ฐ ์
KIKOSI KIMEANZA SAFARI KUELEKEA ZANZIBAR KWAAJILI YA MASHINDANO YA MUUNGANO CUP
์กฐํ์ 7K7 ์๊ฐ ์
#KEYMOMENTS: YANGA SC VS SIMBA SC | LIGI KUU YA NBC 2023/24 | APRIL 20
์กฐํ์ 3.3K9 ์๊ฐ ์
SIMBA NGUVU MOJA | TUTARUDI TUKIWA IMARA ZAIDI | MIMI NI SIMBA | MAKALA
์กฐํ์ 10K12 ์๊ฐ ์
GOLI LA FREDDY MICHAEL DHIDI YA YANGA SC LIGI KUU YA NBC 2023/24
์กฐํ์ 18K14 ์๊ฐ ์
KIKOSI KIMEWASILI UWANJANI TAYARI KWA MCHEZO WA DERBY DHIDI YA MTANI
์กฐํ์ 14K14 ์๊ฐ ์
#LIVE YANGA VS SIMBA SC/MASHABIKI WALIPUKA NJEE YA UWANJA WA MKAPA/"WAMEINGIA KWENYE MTEGO'
์กฐํ์ 9K14 ์๊ฐ ์
MAZOEZI YA MWISHO YA KIKOSI CHA SIMBA SC U17 KABLA YA KUWAVAA TANZANIA PRISONS U17
์กฐํ์ 5K16 ์๊ฐ ์
#PRESS KOCHA MATOLA & SHOMARI KAPOMBE - "MAANDALIZI YALIKUA MAZURI/TUMEFANYA MABORESHO/TUPO TAYARI"
์กฐํ์ 37K16 ์๊ฐ ์
#KEYMOMENTS KIBU DENIS VS YANGA SC
์กฐํ์ 4.1K21 ์๊ฐ ์
Umepata pa kujificha semaji Lakini hicho kichaka mbona unaonekana??
Huyu ndio mwamba mwenyewe ๐ ๐ ๐ ๐ na abaki simba bora saidoo awondoke
Leo tinafungwa wana simba amini tusiende na matokeo
Azam nanyi twasubiri Bango lenu. Maana mmepata mtelemko!! labda mshindwe wenyewe. Ila mtakua watu waajabu mkindwa kufunga Timu inayoongozwa na Matapeli Try-again, Mangungu, Kajula na Asha Baraka. Bila kusahau msemaji wao mwenye porojo nyingi
Walipoifunga vyura fc mbona awakuweka bango?๐๐๐Azam sio wa washamba๐๐na sio malimbukeni kama nyuma mwiko, team ukubwa ushindi ni kawaida tu awaweki mabango๐๐ingetaka ingeweka simba zile goli 7 kwa horoya๐au zile 4 kwa yanga๐
Miaka mingapi unasimama mbele na kuongea ayo maneno yako,na mnatengeneza kwa moaka mingapi,jifunzeni kwa Yanga angalieni ubora cufu yanga atawapita na atanza kuingia nusu ya cufu
Tatizo siyo majungu porojo
Bila chama duuuh,, bora ht inonga fundo yupo
Yani kama onana anazidiwa na kibu uwezo ni vyema kumpa thank you tu hamna kituu
Kanoute anaumwa au vp au ni mwoga mbona.kuna moment anajificha haombi mpira na yupo on space daah kwenye hii timu kuna shida mahali
Kibu na saidoo wana bifuu au mbonaa hawana ushirikiano na wanacheza kibinafsi haki ya nani ningekuwa kiongozi hapo simba, simba ingenyooka
Wachezaji wetu wazawaa ni mzigoo sanaa yaani mpira hakuna ni aibu kwakwelii
Muwe mnawapeleka ata jimmu
Toka apa na likipara lakoo achia tim ww ndo una leta siasa kwenye mpira kwanza usha zeeka sas achia vijana wanaojua sokkaaa umejipanga umeona uje kutudanganya hamna munga tena Tz watu niwasomi ww usha ongoza hovyooo inabid uondoke kilaki2 kina mwanzo na mwsho
Toka apa na likipara lakoo achia tim ww ndo una leta siasa kwenye mpira kwanza usha zeeka sas achia vijana wanaojua sokkaaa umejipanga umeona uje kutudanganya hamna munga tena Tz watu niwasomi ww usha ongoza hovyooo inabid uondoke kilaki2 kina mwanzo na mwsho 3:36 3:36 3:36
Toka apa na likipara lakoo achia tim ww ndo una leta siasa kwenye mpira kwanza usha zeeka sas achia vijana wanaojua sokkaaa umejipanga umeona uje kutudanganya hamna munga tena Tz watu niwasomi ww usha ongoza hovyooo inabid uondoke kilaki2 kina mwanzo na mwsho
Toka na likipara lako tuachie Tim yetu usha zeeka usitak kuletea siasaa soka halitak siasa achia tim vijanaaaaaaaa usipiteee mtaan kwetuuu
lindeni goli jamani nawaomba wachezaji
Yn hii Tim Ili irudi kweny makal yk fukuz viongoz wot na badh ya wachezj waondk
Natamani barua na chasambi waanze babu wa burundi aungane na boko
๐ฆ๐ฆโคโคโค๐
โคโคโคโคโค
Wewe matolla ndio.unaiangusha simba. Kila ukirudi benchi simba huwa haipati matokeo. Wewe unaongelea saido wakati mashabiki hawamtaki saido anaigharimu timu. Utaondoka na benchika endeleeni kumtumia saido.
Kesho barua aanze nimda hajacheza jaman
oya uyu mzee mbon haelewek mzee chenga kwel
Simba nguvu moja๐ช
Mgunda kwann kapew wanawke wakat anafaa sana kwa wanaume. All the best Simba siku ya kesho
Tumepiga back back kwa simba queens ๐คด ๐คด๐คด๐คด๐๐๐
Benchika mungu kakusaidia kupanga team kesho. Ndio ujue kesho first 11 inatoka wapi. Ila usiogope assume chama, saidoo na inonga wapo bench. Usiseme injuries utapagawa.
Simba jamani huyo.matola anafanya nn simba.wakati.mashabiki hawamtaki
Wanaougua mungu awaponye lkn naamini mliopo muonyeshe ufundi ili wanaoumwa nao wasijione vifaa saana
Zimbwe nakukubali wewe na chemalon na Ayoub.
Kichwa majiii ww hatukutaki hataujisafishe vipi kawaambiy familia yako
Jamani pambaneni Kwa kuji toa hasa nyinyi wa wazawa ndio mnajua maana ya roho ya time yetu ya Simba mkishindwa kufungwa Bora muende matuta punguzeni presha hapo niwetu
Mi moyo umeshazoea kuumiza Wacha iniuwe tu Sina jinsi najiandaa tu kulia furaha imeshapotea kwetu wapenzi wa simba
Me nilisema hizi gemu ambazo hazina maana ndio wachezaji wanaumia
Me nilisema hizi gemu ambazo hazina maana ndio wachezaji wanaumia
SAIDO WA NINI HATUTAKI HATA KUMSIKIA NDOO ANAYE UA VIPAJI VYA VIJANAA SIMBA
Kwahiyo ndio umeachiwa timu?mm sina iman na wewe.hapo kuna wachezaj wako tutawaona Mzamiru& Kennedy ๐ข. Kila mwalimu anaondoka tatizo nn Simba?
Kwqn benkchika kaondoka yupo utamuona kesho
Imeenda wapi Simba yangu๐ญ๐ญ
Hatuku tak mbona umeganda
Mmefeli nyiee njoooni mpumzike msubiliee mwakanii
Utashangaa wanamuacha Luis Simba wakimuacha miqson nawaona wasenge sana
Congratulations to you brother๐๐๐
All the best my team .....hope kesho tutafurahi.Chama,Henonga ,Saido ugueni pole tunawapendaโคโคโคโค
Nguvu moja
Timu yetu ni mbovu tu hakuna cha maana.. kesho timu ikishinda ndio mutaona majigambo na kuwahadaa mashabiki na wananchi kuwa timu ina wachezaji wa maana . Kesho tufungwe na mwakani hakuna ubingwa kila msimu kusajili ujinga ujinga ndio matunda yake haya hali ya timu inavyoonekana
mnatuboa bwana
anajua vibaya mno
โคโคโค
2naipend simb ila kk ze2 jitahidin msi2angush maan azam nitim bor kazen buti2 msikat tamaa