HIGHLIGHTS: SIMBA SC U20 {5} VS AZAM FC U20 {2} | LIGI KUU YA VIJANA U20
์์ค ์ฝ๋
- ๊ฒ์์ผ 2024. 03. 19.
- SUBSCRIBE NOW:
โถt.ly/uwYW7
๐ Site: simbasc.co.tz/
๐ฑ App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
๐ฑ App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
๐ต Facebook: / simbatanzania
๐ธ Instagram: / simbasctanzania
๐ Twitter: / simbasctanzania
๐ถ Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC KRplus Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
๐ต๐ดโช #NguvuMoja #Wenyenchi - ์คํฌ์ธ
Alhamdulilah rabil allaamiyn,, hongereni vijana #simbasc
Simba nguvu moja
Bravo watoto wanajitaidi
Kipa wetu Simba kanajitahid
Simbaaaaaaaaa hamna k2
Hongera Kwa ushindi.ushauri wangu timu hii ndo Simba ya baadae so inabidi nguvu za ziada zitumike kuwacoach vijana wapige pasi nyingi
Azam wanacheza vizuri wakati washakula chuma 5 kucheza kwao vizuri kumewasaidia Nini? Iyo inaitwa vyenga twawala๐๐
Azam wamecheza vizurii
Azam wako vizuri,vijana wetu papatu,papatu sanaa
kuchez vzur ndo kushinda au ๐๐๐ papatupapatu haijawah kucreate chance tano hata siku ngap
โฅ๏ธโฅ๏ธ๐ฆ๐ช 1
Azamu wanacheza vizuri Sanaa๐๐
Kelele
Simba Bado sana, Azam wanacheza mpira
Wangeshinda ๐๐
Pamoja naushindi Mimi nisimba irawenye jezi yaburuu wanacheza mpira wakuvutia Sana sasa Simba waongeze utamu wampira miguuni
Simba yetu hii ys madogo imerithi kwa wakubwa pia๐ข
๐ฆโคโคโคโคโค๐๐๐๐๐
Azam wako vizuri zaidi hata pas zao zinafika na wanajituma kutafuta na kuumiliki mpira japo wamefungwa
๐ฎ
Azam wanachez vzr sana kwa mpangilio.... Hawa Simba butuabutua kama kaka zao
Umeangalia dk 7 unaleta porojo humu... vitu vingine bora upige kimya...
Mmeshinda.. Ila Azam wanacheza vizur san
Simba hawachezi vzr na mimi ni mwanachama nasema ukweli.
Simba ata yanga timu ndogo bado sanaaa waendelee kujitafuta kwa sasa bado utopolo2
Vijana wa Azam wako vzr,simba yetu papatu papatu tu,kudrible n hawawezi hakuna pasi zaid ya mbili mtu kapoteza mpira by the way ushindi muhimu naamin mengine yatawekwa sawa kwenye viwanja vya mazoez
Naona azam wana mpira muda wote๐ข
timu inamoral saf sana
Mimi Simba but Azam wanacheza mpira mziri mno
Mbona azam wanacheza vizur sna
Kwa wachezaji hawa Jina la simba litashuka ,,madogo wanakimbizwa na wenzao wa azam,,dahh simba ijitafakari ,,,
Hii timu ya vijana hamna kitu
Timu za vijana za Simba hawachezi kitimu wanacheza kibinafsi ili kila mtu atoke yeye,cheki Azam wanavyopiga ball
kwaio mchezaj anatok mwenyew kwa kipa anakuja kufunga peke ake au
Ukweli usemwe hii timu ya vijana ya simba bado sana wanaruka ruka tu, hebu ona wenzetu azama wanavyoenjoy mpira wanacheza unaona kabisa wanataka nini
Hii video imetengenezwa na Azam Fc kwaiyo wanaweka marudio Yao kuliko ya Simba
Chukueni vijana wenye uwezo hawa miracle kila viwango vyao viko chini
Kwanini wewe usichukue wachezaji bora ukaanzisha timu yako. Wenye miracle
Mkatafute vijana vijijini huko , siyo mna tafuta watu kwa kujuana, nendeni shamba la vipaji morogoro.
Wewe kunguru๐
Derby kama Derby
Azam wamecheza vizur japo kadi imewaangusha,simba wajipange hawana mpira mzuri ukilinganisha na azam
Naona Kila mtu anakuja hapa na kusema timu haina muunganiko nimkwelinila angalia miundombinu ambayo azam wameweka watt wakanaa pamoja muda mrefu lazima uone muunganiko ila sisi Kila siku wanakuja wapya maana watt kama Hawa inabidi uwaweke pamoja muda mrefu na wawe wamepitia misingi ya soka toka wadogo najua ni ngumu ila ndiy vision ya Simba kwa sasa.
uwanja gani huu?
Makocha wa simbs wa hawa vijana hawana wanachokifundisha huwezi hata kufikiri kama timu ina kocha
Tumeshinda ni jambo zuri ila Timu bado hatujapata, Uchezaji ni wakawaida mno sio kama Azam walivyocheza inabidi vijana wapigizwe mzigo hasa make sion kama wanacheza kitimu
Mbona na ona Kuna mijengo ndani,ya fence au mimacho yangu.
NI Sahihi ni Majengo ya TFF nadhani ni Hostel Hicho ni Kituo cha TFF
Mwalimu wa timu yetu kwa Sasa ni nani?
Mimi Simba ila kiukweli hao madogo wa AZAM wana mpira wakuvutia kabisa nimependa japo wamefungwa wanajua
To be honest Mo dewji anatakiwa aangalie watu walioaminiwa SIMBA B hizi... Timu imeshinda ila haionyeshi pattern uko Simba B ndo Kwa kujenga falsafa ya timu na mwelekeo sahihi WA timu Azam wamefungwa ila unaona wana future
Hiiiiiiiii vijana wamefufu hawa,,,,, kuwafunga azam mhhh
Hamna kitu apooo
simba dah๐ scouting yao ndo hadi kwa vijana mbovu
hao under 20 sasa๐๐๐๐ mikubwa iyoo
timu haiko well organized inachezea jina but azam wanacheza kwa kutengeneza mipango mizuri inaonekana kuanzia chini mpk juuu
Na azam kashinda tano apo
Acha uchawi umri ushaenda
Hayo ni mawazo yako tu muhim kuwin
Hata uchawi unaanza hvyo
Utazeeka kabla ya mda wako punguza majungu
Hii inaitwa chenga tun'wala ila magoli tunfungwa
Huu uwanja ndy wa bunju?
Watu wanamzuka ๐๐
Viwanja vya wapi kwani
Tusaidieni jamani, ni kiwanja Gani hiki?
Tff Kigambon
Viongoz wa simba hebu chukueni vijana wenye uwezobwana hii tim hamnakitu kabisa
Sasa imepataje hayo matokeo
wanatengeneza timu utachukua mtu anamika 25 alafu useme anamiaka 20
@@user-tg3st6li2q wewe unaangalia magoli sio hiisio senior team useme tua shangilia matokeo hiinitim ambayo miakamiwilituuhapo wanakua watuwazima. Tim inavyocheza hairidhish huwez linganisha na Azam azam wanavyocheza unaonakabisa wnacheza kwanidhamu wameshiba mafunzo unadhani hawa Azam baada yamiaka miwili siwatakua mamelod kabisahawa kama Mungau akawaweka wakendahivi wanavyo cheza Azamu nimoto wakuotea mbali. Mwishowasiku vilabu vikubwa vinakimbia kuwanunua halafu hawa wasimba wana achwa bure . Kunatofauti kubwa sana hapo kama unajicho lampira.